Tuesday, December 3, 2013

Nimepita Makongolosi Chunya na Nimekutana na Baba Mzazi eeee babaaaa!!!

Nimefurahi sana kukutana na mtu muhimu kwa tasnia ya wanahabari hususani kwa Redio na Luninga. Huyu jamaa anaitwa Lawena Nsonda Maarufu kwa jina la Baba Mzazi, Mzee wa Makongolosi, kama humjui fuatilia vipindi vya mijadala kwa njia ya simu katika Redio na Luninga zote za Bongo. Ametukaribisha vizuri mimi na Mpiganaji mwenzangu Said Makala wa Channel Ten, nyumbani kwake Makongolosi Chunya.
 Shoto mimi na kulia Baba Mzazi babaa eeeeee!!!!
 Pamoja kuanzia shoto mimim Baba Mzaziii na Said Makala
 Makongolosi kuna embe nzuri, tamu lakini cha kusikitisha huishia  kuoza kipindi kama hiki, wenye dhamana ya viwanda na biashara mnajua hiliiiiii!!!
 Mti wa mwembe ukiwa umenona matunda pande za Makongolosi Chunya
Tamu eheeeee!!!!

Na wadau tulipokutana Nyasaland

 Kwanza Shoto John Bukuku wa Full Shangwe, Said Makala wa Channel Ten na Mimi.
Kuanzia Shoto Said Makala, Said Mwishee, Mary, Nasoro Hassan, Mimi, Sheila Simba, Dadi Mnamba, John Bukuku, Suleiman Jongo, Geofrey Lunyungu

Thursday, October 24, 2013

JAMBO BOMBAY(MAMBO YA INDIA)

Hoooo zimepitwa na wakati, hooooo chesesi ya Lori, hapa India ni kujimwaga tu. tena ndinga zinamilikiwa na serikali
 Mjini kumekucha

 Ng'ombe hadi mjini




Wednesday, October 23, 2013

TANGAZO



HYTES the organization I'm representing in Tanzania, has opened its application for Secondary School scholarships. We pay average of Shs. 300,000 per student covering tuition fee, exam fees, books and supplies.


Most of Government school students can benefit alot as the tuition fee ranges to Shs. 20,000. So Shs. 300,000 will cover at least every thing.

Kindly ask as many as students from Songea Boys, Mletele, Ruhuwiko, and other students from secondary schools in Songea  to see attached application, complete the forms and submitt them to me via my e-mail before the deadline of 1st November 2013. 

Sunday, October 20, 2013

Friday, October 11, 2013

Kumradhi!!!!

Ndugu za wadau,
Mniwie radhi sana kwa kutokua hewani kwa kipindi kirefu.
Hii ilisababishwa na sababu za msingi zilizoninyima Muda wa kuwapa chakula Kama kawaida.
Sasa nimerejea, twende pamoja.