Thursday, October 24, 2013

JAMBO BOMBAY(MAMBO YA INDIA)

Hoooo zimepitwa na wakati, hooooo chesesi ya Lori, hapa India ni kujimwaga tu. tena ndinga zinamilikiwa na serikali
 Mjini kumekucha

 Ng'ombe hadi mjini




Wednesday, October 23, 2013

TANGAZO



HYTES the organization I'm representing in Tanzania, has opened its application for Secondary School scholarships. We pay average of Shs. 300,000 per student covering tuition fee, exam fees, books and supplies.


Most of Government school students can benefit alot as the tuition fee ranges to Shs. 20,000. So Shs. 300,000 will cover at least every thing.

Kindly ask as many as students from Songea Boys, Mletele, Ruhuwiko, and other students from secondary schools in Songea  to see attached application, complete the forms and submitt them to me via my e-mail before the deadline of 1st November 2013. 

Friday, October 11, 2013

Kumradhi!!!!

Ndugu za wadau,
Mniwie radhi sana kwa kutokua hewani kwa kipindi kirefu.
Hii ilisababishwa na sababu za msingi zilizoninyima Muda wa kuwapa chakula Kama kawaida.
Sasa nimerejea, twende pamoja.