Thursday, September 5, 2013

Super Feo Express Basi pekee yenye luninga kila kiti cha Abiria Tanzania

 
Basi la Kampuni ya Super Feo Express ambalo Mpaka sasa ndio kampuni pekee ya mabasi Tanzania iliyoweza kufikia viwango vya juu vya ubora wa Mabasi hasa kwa kuweka Luninga kwa kila kiti ili kila abiria aweze kuangalia luninga yake na kuamua nini cha kuangalia kama vile yupo kwenye ndege kubwa za abiria.
 
 Hii ni sehemu ya ndani kwenye viti vya abiria ambapo kila abiria anatumia luninga yake
Mabasi ya kampuni ya Super Feo hupatiwa matengenezo kwa uangalifu wa hali ya juu katika gereji yao Mjini Songea na mafundi wanaotumika ni Watengenezaji wenyewe wa Mabasi haya yaani Wachina kutoka Kampuni ya Yutong ya China


Matengenezo yanaendelea