Tuesday, December 3, 2013

Nimepita Makongolosi Chunya na Nimekutana na Baba Mzazi eeee babaaaa!!!

Nimefurahi sana kukutana na mtu muhimu kwa tasnia ya wanahabari hususani kwa Redio na Luninga. Huyu jamaa anaitwa Lawena Nsonda Maarufu kwa jina la Baba Mzazi, Mzee wa Makongolosi, kama humjui fuatilia vipindi vya mijadala kwa njia ya simu katika Redio na Luninga zote za Bongo. Ametukaribisha vizuri mimi na Mpiganaji mwenzangu Said Makala wa Channel Ten, nyumbani kwake Makongolosi Chunya.
 Shoto mimi na kulia Baba Mzazi babaa eeeeee!!!!
 Pamoja kuanzia shoto mimim Baba Mzaziii na Said Makala
 Makongolosi kuna embe nzuri, tamu lakini cha kusikitisha huishia  kuoza kipindi kama hiki, wenye dhamana ya viwanda na biashara mnajua hiliiiiii!!!
 Mti wa mwembe ukiwa umenona matunda pande za Makongolosi Chunya
Tamu eheeeee!!!!