Monday, October 6, 2014

KUMRADHI SANAAAAAA

Kwenu wadau,
Kwa niaba ya timu yangu, nawaombeni radhi sana kwa ukimya uliodumu kwa muda mrefu. Kuna sababu za Msingi zilizosababisha haya yote. Lakini kubwa ni Mkakati mkubwa unaoandaliwa na Msigwa Blog katika kuhabarisha kwa uhakika, upana na undani. Naomba tuendelee kuvuta subira

Gerson Msigwa
DG Msigwablog