Sunday, March 2, 2014

hufarijika kuwaona wapiganaji wakongwe



Mwandishi wa Habari Mkongwe hapa Nchini Mzee Mbunda wa kwanza kushoto, anafuatiwa na Andrew Kuchonjoma- Mwenyekiti Ruvuma Press Club, Andrew Chatwanga - Katibu Ruvuma Press Club, Nathan Mtega na Zakaria Nachoa - Mkurugenzi Manipsaa Songea
 
 Mpenda Mvula, Mmoja wa wapiganaji wakongwe katika mambo ya Uandishi wa Habari yeye akijikita katika upiga picha, waandishi wa habari wengi wakongwe hapa nchini wanamtambua huyu jamaa na mpaka leo angalia anatupiga jeki wadogo zake. Hongera sana Brother na Baba yetu katika fani, Big Respect