Thursday, March 6, 2014

Siku nzuri niliyokutana na watu muhimu

 Nilipiga boksi na Kaka Zakaria Ngalimanayo, yeye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Klabu ya Wanalizombe Majimaji ya Songea ambayo ipo mawindoni kusaka kurejea Ligi kuu
 
Hapa nilikutana na Sheikh Jamal (Baba Mayasa) pili kulia, anayefuata ni Abdalah dege mmoja wa WanaCCM waliopata kuongoza Chama kwa heshima kubwa na baadaye akastaafu kistaarabu. Na kwanza Shoto ni Mpiganaji ninayemheshimu sana Juma Nyumayo Mwanataaluma mwenzangu.