Saturday, March 30, 2013

BONANZA LA PASAKA NDANI YA MAJIMAJI - SONGEA

Katika Bonanza la Pasaka linalopofanyika katika uwanja wa majimaji  mjini songea mkoani Ruvuma likiwa linaendelea kwa shamlashamla na bashasha timu ya Mandela ya mjini songea yapigwa moja bila na Timu ya Mbeya Veterani,
Hii ni picha ya Pamoja ya Timu ya Tukuyu mbeya na timu ya Kambarage, wenye jezio nyekundu ni timu ya Kambarage na wenye njano ni Tukuyu ya mbeya katika mchezo huo timu ya kambarage imeichapa tukuyumbeya moja kavu.Tutaendelea kukupa matokeo ambapo sasa timu ya Mandelea imeingia uwanjani kwa mala ingine na timu ya TTC Matogolo