Saturday, March 30, 2013

UP DATE: KATIKA BONANZA LA PASAKA LINALOENDELAA KATIKA UWANJA WA MAJIMAJI TIMU YA MANDELA YAICHAPA TTC MATOGOLO 2 - 0

Golikipa wa timu ya Mandela Kalugwana God akimpasia mpira mchezejaji wake Shabani Mlope

Katika Bonanza la Pasaka linaloendelea katika viwanja vya majimaji kwa kushilikisha timu mbili  toka Mbeya, ambalo linafanyika ndani ya uwanja wa majimaji leo hii timu ya Mandela baada ya kuchapwa mchezo wa kwanza na timu ya Mbeya Veteran Club bao moja kavu nayo katika mchezo wake wa kwanza. Awamu hii yaichapa timu ya TTC Matogolo  mabao mawili kavu  bila uluma .