Friday, March 29, 2013

RAMBI RAMBI KUTOKA UJERUMANI KUFUATIA KUANGUKA KWA JENGO DAR!

UTU (1)
Umoja wa Watanzania Ujerumani umepokea  kwa masikitiko makubwa taarifa ya kuanguka kwa jengo mjini Dar es Salaam.tunawapa pole nyingi ndugu na jamaa wa waliopoteza maisha, Umoja Wa Watanzania Ujerumani unaungana na watanzania wote pamoja wafiwa katika maombolezi ya msiba huu mkubwa.
Tunawaombea marehemu wote mungu awaweke mahala pema peponi AMIN