Tuesday, August 27, 2013

Hili linaudhi wadauuuuuu!!!



Ndugu zangu???????

Hakuna jambo linanikera wakati wa kazi unakuta mpiganaji anakuja kwenye interview na simu ya Mkononi tena mchina kwa ajili ya kurekodi sauti, halafu anaisogeza mdomoni mwa anayehojiwa.

Kwa wapiga picha this is very unfair. Jamani nunue voice recorder na bei zake sio ghali kivile. tuweke microphone tuonekane serious people.

Na ujumbe huu uwafikie Wamiliki wa vyombo vya habari, wanunulieni waandishi wenu wa habari Voice Recorder, msitake vipindi vya chee kama ni live transmission basi nunue teleporters

Lets change guys!!!!