Monday, August 19, 2013

Wangapi wanamuunga Mkono Dr Harrison Mwakyembe????????

 Nimebahatika kutazama live kipindi cha Jenerali On Monday Chanel Ten. Dr Mwakyembe akizungumza na David Ramadhan kuhusu Shughuli aliyoianza ya kukomesha upitishaji wa dawa za Kulevya viwanja vya ndege na bandari
 Akisisitiza "Hakatizi mtu na dawa za kulevya bila kubambwa"
Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam, wenye kashfa ya kutumiwa kupitisha dawa za kulevya