Wednesday, August 7, 2013

Hongera sana Kaka Julius Mlawa "Mtazamo"

Julius Mlawa - Mtazamo

  • Huyu Jamaa ni mfanyabiashara wa mazao na msindikaji wa unga wa sembe
  • Pia ni msafirishaji wa mizigo
  • Anamiliki Kampuni ya Mtazamo Enterprises
  • anafanya shughuli zake katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma
Leo nimejisikia kumwambia Hongera sana kwa sababu zifuatazo;
  1. Jinsi anavyoishi kwa ushirikiano na upendo na watu mbalimbali.
  2. Jinsi anavyoendesha shughuli zake na wafanyakazi wake kibinadamu
  3. Jinsi anavyoipenda nchi yake Tanzania
  4. Jinsi anavyopenda maendeleo ya kila mtu
  5. Jinsi anavyowajali watu wanaopigania maisha
  6. Kakaa mbali na ukatili na unyama
  7. Na mengine mengi mazuri mnoooooo
Naamini huu ni mfano wa kuigwa, so lets be smart as he do.