Monday, August 19, 2013

Nakumbuka Kama vile kulikua na Kampeni ya kuondoa utitiri wa Minara ya simu, radio, TV nk?

Haya kila anayetaka kurusha matangazo ajenge Mnara wake na vijumba vya walinzi na mafundi.
 Aweke uzio na majenerator yake ya kufua umeme.
Na pia aweke solar power system yake.

Minara hiyo yoooote ingeweza kuwa mnara mmoja na kila mmoja akakobeka virusha matangazo yake hapo. Tafakari..........Chukua hatua.