Sunday, July 7, 2013

LIGI YA MPIRA WA MIGUU YA MWAKISU SUPER CUP YAFIKIA KILELENI LEO WASHINDI WAPATIKANA WAPEWA ZAWADI ZAO KATIKA VIWANJA VYA MBATA JIJINI MBEYA.

 Mfadhiri  wa ligi ya  mpira wa miguu Mwakisu Cup Nwaka Mwakisu wa kwanza kushoto akisalimiana na mgeni Rasmi wa fainali ya  ligi hiyo Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masaki
 Mgeni Rasmi wa fainali ya  ligi hiyo Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masakiakikagua timu
Mpambano  ukiendelea kati ya Ghana FC na Terminal FC ambapo Terminal waliibuka washindi kwa goli moja bila   
 Wageni waalikwa  wakifuatilia mpambano

 Mratibu wa ligi hiyo David Mwakalinga akizungumza jambo baada ya michuano kukamilika
 Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Mbeya (MREFA) Haroub akizungumza na mashabiki wa mpira waliofurikaa uwanjani
  Mfadhiri  wa ligi ya  mpira wa miguu Mwakisu Cup Nwaka Mwakisu akifafanua jambo baada ya kukamilika kwa ligi hiyo
 Mpira wa Pete  haujasahaulika Mdau kutoka AJIM Ent.Ltd akitoa msaada wa magoli katika uwanja wa Shule ya Msingi Mbata.
 Mgeni Rasmi wa fainali ya  ligi hiyo Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masaki akitoa neno kwa mashabiki na wapenzi wa mpira wa miguu waliofurika siku ya fainali hizo.
 Mgeni Rasmi wa fainali ya  ligi hiyo Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masaki akimkabidhi kitita cha Shilingi Milion Mbili nahodha wa timu ya Terminal walioibuka wa washindi wa kuanza
 Mgeni Rasmi wa fainali ya  ligi hiyo Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masaki akimkabidhi kitita cha shilingi milioni Moja nahodha wa timu ya Ghana wealioibuka washindi wa pili
 Mgeni Rasmi wa fainali ya  ligi hiyo Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Barakael Masaki akimkabidhi Kombe kwa ajili ya washindi wa kwanza ambao ni Terminal Fc ya Stendi kuu Jijini Mbeya


 












 Mashabiki mbali mbali wakifuatilia mpambano huo
 Kabumbu ikiendelea

 Wanahabari nao hawakuwa mbali kufuatilia ligi hiyo huku Mfadhili akibadilishana nao mawili matatu
 Penye wengi hapakosi vituko ndivyo alivyoonekana jamaa huyu akiwa na Kunguru
 Hata watoto wamo katika ushabiki wa mpira wa miguu.

PICHA NA MBEYA YETU BLOG.