Thursday, June 6, 2013

Jk AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI SINGAPORE

untitled21 6a48f
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika mkutano wa kwanza wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Singapore ulioandaliwa leo Juni 5, 2013 katika hoteli ya Swissotel jijini Singapore

untitled22 ccafd
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wawekezaji wa Singapore katika hoteli ya Swissotel 
untitled23 4ee64

untitled24 4a8db
untitled26 ce3dc
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha ya kumbukumbu na Watanzania Waishio Singapore alipokutana nao leo Juni 5, 2013 katika hoteli ya Swissotel jijini Singapore. Kulia ni balozi wa Tanzania nchini Singapore Injinia John Kijazi