Saturday, June 15, 2013

Rais Kikwete akutana na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Mark Simmonds jijini London Uingereza leo(picha na Freddy Maro).